Thursday, January 31, 2019

Waziri wa Madini Doto Biteko akutana na Mwenyekiti wa TEITI Jijini Dodoma

Na Rhoda James,

Waziri wa Madini Doto Biteko, Januari 29, 2019, alikutana na Mwenyekiti wa Taasisi ya Uwazi na Uwajibikaji katika Rasilimali za Madini, Mafuta na Gesi asilia (TEITI), Ludovick Utouh, ofisini kwake Jijini Dodoma. Lengo likiwa ni kujadili masuala mbalimbali yanayohusiana na utekelezaji wa majukumu ya TEITI nchini.









No comments:

Post a Comment