Saturday, August 18, 2018

Ujumbe wa CRDB wafanya ziara Tume ya Madini


Na Greyson Mwase, Dodoma

Jana tarehe 14 Agosti, 2018  ujumbe kutoka CRDB ukiongozwa na Mkurugenzi wake Dk. Charles Kimei ulifanya ziara katika Ofisi za Tume ya Madini zilizopo jijini Dodoma lengo likiwa  ni kufahamu majukumu na shughuli za Tume.


Mkurugenzi Mtendaji wa CRDB, Dk. Charles Kimei  (kulia) akifafanua jambo kwenye kikao kilichoshirikisha ujumbe wake na Katibu Mtendaji wa Tume ya Madini, Profesa Shukrani Manya
Mkurugenzi Mtendaji wa CRDB, Dk. Charles Kimei  (kulia) akibadilishana mawazo na Katibu Mtendaji wa Tume ya Madini, Profesa Shukrani Manya (kushoto) kwenye Ofisi za Tume ya Madini zilizopo jijini Dodoma.

No comments:

Post a Comment