Tuesday, June 19, 2018

Tanzania yashiriki Mkutano wa Kimberley Process


Na Asteria Muhozya

Katibu Mtendaji wa Tume ya Madini  Prof. Shukrani Manya na Afisa kutoka Wizara ya Madini Mhandisi Siri  Boga wanaiwakilisha Tanzania katika Mkutano wa Kimberley Process unaofanyika mjini Antwerp, nchini Ubeligiji, 

Mkutano huo huhudhuriwa na wanachama wa Umoja wa Kimberley Process ambao unahusisha  mataifa ya Kiraia, Serikali na kampuni zinazojishughulisha na  uzalishaji na watumiaji wa madini ya almasi.

Mkutano huo umefanyika kuanzia tarehe 18-22 Juni 2018.



No comments:

Post a Comment